Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa akionyesha mkoba wenye hotuba ya bajeti ya mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2012/13 leo mjini Dodoma kabla ya kuwasilisha.
Waziri wa Fedha,Dkt.William Mgimwa akiongozwa na Mpambe wa Bunge kuingia Bungeni kusoma Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2012/13, Mjini Dodoma leo.
Waziri wa Fedha, Dkt. William Mgimwa akisoma bajeti ya Serikali ya 2012/13, Bungeni Mjini Dodoma leo.
Wapiga picha wakigombea picha ya Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa wakati aliponyanyua mkoaba wa Bajeti ya Serikali ya 2012/13, Bungeni Mjini Dodoma Juni leo.
Waziri wa Fedha,Dkt.William Mgimwa akiongozwa na Mpambe wa Bunge kuingia Bungeni kusoma Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2012/13, Mjini Dodoma leo.
Waziri wa Fedha, Dkt. William Mgimwa akisoma bajeti ya Serikali ya 2012/13, Bungeni Mjini Dodoma leo.
Wapiga picha wakigombea picha ya Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa wakati aliponyanyua mkoaba wa Bajeti ya Serikali ya 2012/13, Bungeni Mjini Dodoma Juni leo.



I started wonder by self what is cooking on, because at first hand I was like wawooo here come again John Mashaka articles as I am very fond of it hence as I continue to read each and every paragraph I have discouvered poor gramar and force informations so therefore I am like no no nooo this couldn`t be the John Mashaka articles because of poor gramar and english. But however the person whoever has writen this articles is very smart if had polished her english gramar and follow its path of writing informations collectly nice. Thank you for my time and I was telling my truth, Job well done.
ReplyDeleteAliye msafi awe wa kwanza kumrushia jiwe mwenzake... Mr Force information
ReplyDeleteMDAU HAPO JUU, YOU MADE LOTS OF MISTAKES YOURSELF. HOW CAN YOU CORRECT SOMEONE ELSE'S MISTAKES?
ReplyDelete