Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mkangalla akisalimiana na Kaimu Kamanda wa Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) cha Ruvu Meja Alex Kakwaya wakati alipokwenda kutembelea kikosi cha Timu ya Tiwiga Stars kinayotarajiwa kucheza mchezo wa marudiano na timu ya Ethiopiia.
 Baadhi ya Wachezaji wa Kikosi cha Timu ya Taifa ya Twiga Stars wakimsikiliza Mheshiiwa Dkt Fenella Mkangala wakati alipowatembelewa kwenye kambi ya Kikosi  cha Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa Ruvu JKT
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mkangalla akisisitiza jambo kwa kikosi cha Timu ya Taifa ya Twiga Stars (hawapo Pichani) wakati alipotembelea kikosi hicho kilichopo mazoezini kujiandaa na mchezo wa marudiano na timu ya Ethiopia  kwenye kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa Ruvu JKT, Kulia kwake ni  Kaimu Kamanda wa Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) cha Ruvu Meja Alex Kakwaya na kushoto kwake ni Luteni Rhoda Matonya
Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa cha Ruvu (JKT ) Meja Alex Kakwaya akiteta jambo na Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Bi. Juliana Yassoda wakati ugeni wa Wizara ulipokwenda kutembelea kikosi cha Timu ya Twiga Stars kilichopo mazoezini kujiandaa na mchezo wa marudiano na timu ya Ethiopia kwenye kambi ya Kikosi cha Ruvu JKT. Picha zote na Benjamin Sawe wa WHVUM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2012

    Napakumbuka sana hapo Operation vyama vingi hiyo 1992-93 kombania A.Kwa Afande Mazani(R.I.P?),Afande Kibuyu(R.I P] JKT irudishwe,,,,,,,

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...