Mtangazaji wa kipindi cha Chereko Chereko, Angella Gloria Bondo akiwa amepozi kwa picha na mgeni wake, Shabani Mbegu ambaye alifika katika Studio hizo kwa ajili ya kuandaa kipindi cha Chereko Chereko kitakachorushwa hewani siku ya jumapili tarahe 22-7-2012 kuanzia saa moja kamili jioni mpaka 7: 45 katika kituo cha Televisheni cha TBC. Kipindi hiki kitaanza kuonekana tena baada ya kusimama kwa kipindi cha mwaka mmoja na sasa kimerudi tena katika muonekano mpya baada ya kuboreshwa.
Mtangazaji wa kipindi cha Chereko Chereko, Angella Gloria Bondo akiwa amepozi katika Studio za 2BONDO'S PRODUCTIONS.
Mtangazaji wa kipindi cha Chereko Chereko, Angella Gloria Bondo akiwa katika mahojiano na mgeni wake Bwana Harusi, Shabani Mbegu katika Studio za 2BONDO's PRODUCTIONS.
Hongera Angela, usirudi nyuma songa mbele!
ReplyDeletewaoooh nampnd sn huyo mwanamama cz anajua kuendsha kipindi kinakuwa hakiboi na pia kinatuandaa vzr maharuc watarajiwa.mana uliondoka tukawa tunarudia tuuuuuu haruc hz hz jmn.nw kitakuwa poaaaa snnn tu
ReplyDelete