MKUU WA MKOA WA LINDI,LUDOVICK MWANANZIRA AKIHUTUBIA KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI KINACHOENDELEA
BAADHI YA MADIWANI WAKIMSIKILIZA MKUU WA MKOA WA LINDI KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI ''LIVE''
WANANCHI WILAYA YA KILWA WAHIMIZWA KUJITOKEZA KUHESABIWA TAREHE 26 AUG NA PIA KUSHIRIKI KATIKA KUTOA MAONI YA KATIBA
WITO HUO UMETOLEWA PUNDE NA MKUU WA MKOA WA LINDI LUDOVICK MWANANZIRA ALIPOKUWA AKIHUTUBIA KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI
KINACHOENDELEA KATIKA UKUMBI WA JUMBA LA MAENDELEO CHINI YA UENYEKITI WA MHE FARIDA KIKOLEKA-MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA
Huyu mwandishi hapo anachukua picha mbona anaonekana hana nidhamu,huko vyuoni kwao hawafundishwi jinsi ya kusimama mbele za watu.Sasa hilo koti kiunoni ndo mtindo gani.kha!!
ReplyDeleteMajority of Tanzanians do not have a permanent place to live(ILO, UNIDO & UNDP, 2002)
ReplyDeleteShe goes 'shake it ... to madiwani! :) Moja ya kazi ni kuwafurahisha hadhira yake pia. Kwa hiyo mdau unayelalama uvaaji wa swete ni kamtindo tu ka kuvutia kazi yake!
ReplyDelete