Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji,Mhe. Shamim Nyanduga akiingia ndani ya Ikulu ya Msumbiji huku akishindikizwa na Naibu Mkuu wa Itifaki, Msumbiji wakati alipofika kupeleka hati ya Utambulisho wake kwa Rais wa Nchini hiyo,Mhe. Armando Emilio Guebuza.
Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji,Mhe. Shamim Nyanduga akikabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Msumbiji Mhe. Armando Emilio Guebuza.
Mhe.Balozi Shamim Nyanduga na Naibu Mkuu wa Itifaki, Msumbiji wakiwa wamesimama wakati Wimbo wa Taifa (Tanzania) ukipigwa na nyuma yao.
Mhe.Aramndo E. Guebuza, Rais wa Msumbiji na Mhe. Balozi Shamim Nyanduga wakigonganisha glasi zao kama ishara ya kutakiana heri.
Rais wa Msumbiji,Mhe. Armando Emilio Guebuza na Mhe. Balozi. Shamim Nyanduga wakiwa kwenye picha ya Pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2012

    Hongera Shamim mwenyezi mungu akuongoze ktk kazi yako.

    ReplyDelete
  2. Balozi Nyanduga, hongera sana na umependeza sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...