Home
Unlabelled
Hii ni sawa wadau??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapana mdau huo siyo uchafu, bali ni karaha tuu kwa waendesha magari. Miti na majani haiwezi kuwa uchafu. Kinachonishangaza ni kwanini katika nchi ambayo nishati ni adimu kwanini akina mama ntilie bado hawajachangamkia kuni hizo.
ReplyDeletekwa kweli hii sio sahii,maana uchafu unaonekana vibaya sana. tena hilo eneo lenyewe linaonekana ni karibna eneo fulani nyeti sana.
ReplyDeletekwa wenzetu nchi zilizo endelea wana mashine ambaazo matawi kama hayo anasagwa(shreader) na kutumika kama mbolea ya kuwekwa hata ktk miti yenyewe au bustani nnyingine (mulch)hata bongo inawezekana,sido mko wapi
Inaweza hata kusababisha excedent pumba city cancel go to hell nyinyi watu mnakula pesa tu kila siku tu jiji mnajuwa kuwamwagia wamachinga biashara zao tu!
ReplyDeletePRUNING YENYEWE NI UHARIBIFU.HII KAZI INAHITAJI WATAALAMU
ReplyDeletehapana wadau huo si uchafu, bali ni mbolea
ReplyDeleteTazama baada ya kuipunguza matawi ilivyokuwa mibaya. Sehemu hiyo (ama kote penye nafasi kama hiyo katika barabara zetu) panahitaji miti iliyochanua vizuri. Tatizo jamaa wanapanda miti yoyote tu badala ya miti maalum ambayo haihitaji kubaki hovyo namna hii hata ikipunguzwa matawi.Ni ukatuni tu kila kona.
ReplyDeleteHiyo ni mbolea sio uchafu. Organic manure which safe and environmental friendly.
ReplyDeleteUchafu ni kitu chochote kilicho mahali ambapo si pake
ReplyDelete