Home
Unlabelled
JAFFERJI HOUSE & SPA WELCOMES MARIO VAN PEEBLES (HOLLYWOOD FILMMAKER) ZANZIBAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa waandalizi wa mbio za Kilimanjaro ndio walipaswa kuongea na huyu msela. Jamaa yuko juu. Pia anaweza kuyatangaza mashindano freshi tu. U also need to liaise with the ministerial tourism promotion team.
ReplyDeletePia chekini na Mark Bomani ili amkaribishe Shaggy (chief wa Kisukuma). Shaggy anaweza kualika masela wake pia.
Namna hiyo na mbio zinapata umaarufu zaidi.
sasa huyu anaepiga makelele wakati watu wanasalimiana na kuongea ana nia gani?ndio furaha? utovu wa nidhamu?na hawa waliovaa mishuka nao ndio nini?ndio utamaduni wa kitanzania?wananikera hawa we acha tu.
ReplyDeleteDizaini mmetuaibisha. Ndio tulivyo hivyo, yaani mtu unaweza kuibuka tu mtaani mara ghafla wamasai wanakurukia rukia na kufoka foka? Jamaa hadi wameogopa. Halafu kila kitu kinaenda fasta fasta tu utadhani mgeni anakufa baada ya masaa mawili. Muelewesheni kwanza mambo kisha ndio mfanye na sio kumshtukiza shtukiza au kama vile amekuja kwa mganga wa kienyeji.
ReplyDelete