Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa Ethiopia kuhudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa Umoja wa Afrika AU leo jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili jijini Addis Ababa Ethiopia kuhudhuria mkutano wa 19 wa  wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika leo jioni.Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe na kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Mhe.Joram Biswaro Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2012

    Looking presidential Prez!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2012

    Hivi haiwezekani tukaomba katiba ibadilishwe kidogo tumuongezee raisi muda kidogo hata miaka mingine mitano? Najua waosha vinywa mtakuja na maneno meengi ya kukasirika lakini ukweli utabaki pale pale kwamba JK ni mzalendo wa kweli na anachapa kazi. Katika maraisi waliopita yeye na Mchonga ndo walikuwa na uzalendo wa kweli na nia halisi kwa maendeleo ya taifa letu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 14, 2012

    mdau wa pili hujui kuwa nchi iko kwenye mchakato wa mabadiliko ya katiba? Hujui pia kuwa sheria hiyo ya mabadiliko ya katiba imemkabidhi rungu kwenye haya marekebisho? Ashindwe mwwenyewe tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...