Kaimu Meneja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Oscar Shelukindo akimkabidhi Meneja wa Yanga, Hafidh Suleiman vifaa kwa ajili ya mashindano ya Kagame Cup yanayoanza leo. Makabidhiano yalifanyika jijini Dar es salaam jana.
Kaimu Meneja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Oscar Shelukindo akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Simba Godfrey Nyange, vifaa kwa ajili ya mashindano ya Kagame Cup yanayoanza leo. Makabidhiano yalifanyika jijini Dar es salaam jana.
Wachezaji, Paulo Ngalema wa Simba (kushoto), Athumani Iddi (katikati) wa Yanga na Abdallah Juma wa Simba (kulia) wakiwa wamevalia jezi zilizotelewa na Kilimanjaro Premium Lager kwa ajili ya Kombe la Kagame. Makabidhiano yalifanyika jijini Dar es salaam jana (Picha: Executive Solutions)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...