Kongamano la Katiba ambalo limeratibiwa na Umoja wanafunzi wa elimu ya juu Tanzania (TAHLISO),Limefanyika leo katika Ukumbi wa Karimejee,Jijini Dar es Salaam.Pichani ni Mwenyekiti wa TAHLISO,Ndugu Paul Makonda akikaribisha rasmi wageni waliohudhula kongamano hilo la katiba.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba,Deus Kibamba akitoa mada kwa vijana wa vyuo vikuu.
Viongozi wa vyuo mbali mbali wakifuatilia kwa makini hoja za msingi.
Vijana wakisikiliza kwa makini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2012

    Wanasikiliza kwa makini but huyo mmoja hapo yupo busy na simu au ndomwanahabari? huku niliko kuna maeneo au mikutano ukienda unazima cmu. Cjui Tz?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...