Kongamano la Katiba ambalo limeratibiwa na Umoja wanafunzi wa elimu ya juu Tanzania (TAHLISO),ukumbi wa Karimejee jijini Dar es salaam leo. Juu ni  Mwenyekiti wa TAHLISO,Ndugu Paul Makonda akikaribisha rasmi wageni waliohudhuria kongamano hilo la katiba.
 Viongozi wa vyuo mbali mbali wakifuatilia kwa makini hoja za msingi.

 Vijana wakisikiliza kwa makini.
 Vijana wakisikiliza 
Deus Kibamba ,Mwenyekiti  wa Jukwaa la Katiba akitoa mada kwa vijana wa vyuo vikuu. Picha na mdau Adam Mzee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Che GuavaraJuly 03, 2012

    CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeee!!!!
    People's Powerrrrrrrr!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...