BABY ANGELLA MNTANGI (MAMA JOHN)
04/11/1972 – 24/07/2006

Ni miaka sita (6) sasa tangu ulipotutoka kimwili lakini tunaamini kuwa kiroho bado uko nasi.

Unakumbukwa na mwanao mpendwa John, mama yako, wadogo zako, mama yako mkubwa na mama zako wadogo, kaka zako ndungu jamaa na marafiki.

Tulikupenda sana lakini Mungu alikupenda zaidi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2012

    Mwenyezi Mungu akujalie pumziko la amani dada mpendwa. Amina.

    Tunakukumbuka kwa upendo na wema wako, pia kwa kujiamini na kuwatia moyo wadogo zako.

    Pole John na wengine wote.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...