Home
Unlabelled
LUGHA GONGANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ankal asante kwapicha hii una tukumbusha mbali sisi tulio ughaibuni, Pangani kwa mamwinyi huko.
ReplyDeleteMashuwa hiyo ni yakubebea nazi unaona hilo tambaara jeusi lililo panda juu hapo lililoandikwa lugha gongana hilo nikwaajili ya kuzuiya nazi zisianguke.
anaimanisha = sailing vessel internet. mambo ya kizazi kipya na huenda wakati yuko safarini yuko pia connected na wireless inernet,nikisema bongo ni peponi, watu o !! sisi haturudi. Haya kaeni Ufaransa sasa,njaa kali au hukooo M.united. Zebedayo msema kweli.
ReplyDeleteZebedayo njaa yako sema nayo na sio kukurupuka tu na kuanza kuwakashifu watu wa ughabuni ww kama umeamua kukomenti basi kuwa mwangalifu unapo coment na sio kuingilia watu wa ughaibuni
Deletewewe Zebedayo kila nikisoma comment zako wewe kazi yako inakuwa kuwarumba na kuwabana na kuwalalamikia watu wanaoishi ughaibuni hadi sometimes unaharibu points zako nzuri zinaonekana kama una chuki kubwa na watanzania wanaoishi ughaibuni.Sijui kama uliwahi kuishi huku ughaibuni na ukapigwa patrieshen ukarudi bongo miguu juu na una chuki ambazo unazimalizia kwetu tuliopo ughaibuni.SISI TUMEKUKOSEA NINI? KAMA HUNA KITU HUKO BONGO KOSA SI LETU. SIYO SISI TULIYOKURUDISHA BONGO
ReplyDeleteWatu watakuchoka na kutokukuelewa kwa comment zako za kiajabu,Haya kwa mfano wapi na wapi unaposema "HAYA KAENI UFARANSA SASA" WE KNOW MORE THAN YOU KWAMBA EAST WEST HOME IS BEST lakini huwezi kuilnganisha Paris na (.....)
Huyo zedebayo aseme na njaa zake lakini sio aanza kukashifu watu
Deletekweli kabisa mkuu watu tunaenda na wakati S.V=Sailing Vessel
ReplyDeleteSio swala la lugha kugongana, manake hata angeweza ku spell "MV Internet" bado ingekuwa kituko, mtumbwi utaitaje MV Internet?
ReplyDeleteKiwango cha uelewa wa mambo, elimu na upeo wa mtu wa dunia ya tatu kama Tanzania ni mdogo mno.
mnapenda kuropoka ovyo. kila mtu anaamua jina la chombo chake, hata jina la mtoto wako unaliamua wewe. kuna wanaoitwa jackline au jacquelyn au Jacqueline. spelling mtu anaamua anatakaje, kuna kina Dorine, na kina Doreen, na kina Dorline. kuna Justin na Justine: inategemea ameamuaje japo dini inachangia but majina yanaboreshwa watu wanavyotaka. kwani kina Moshy na Moshi wametoka wapi? kwani kina Limo na kina Lyimo si kitu kile kile? muacheni mwinyi huyu afanye anavyotaka kwa chombo chake
ReplyDeletewewe unayokashfu wenzako kuwa hawajui kuandika,Je wewe mwenyewe umejiona?badala kuandika Lugha eti unaandika Luga hiyo Luga umeitoa wapi au ndiyo kikwenu?
ReplyDeletekama kawaida yake Zebedayo Said mbeba box nambari wanii....
ReplyDeletenimimi tu.....