Mstahiki Meya wa Halmashauri ya manispaa ya Ilala Mh. Jerry William Silaa (katikati) akiwa katika mazungumzo na Bwana James W. Parkinson kutoka Marekani wakati wa mazungumzo yao awali ya mpango wa Meya wa kuongeza uwezo kwa wanafunzi wa shule za serikali kuzungumza kiingereza. Mazungumzo hayo yamefanyika katika office ya Meya ILala,Jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2012

    tizama body language hapo na uniambiye mwenyewe kinachoendelea hamuachi bwana kuwadanganywa watu, watu wameshaamka hivi sasa bwana eeeh

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2012

    juzi juzi ulituonesha picha ya huyu mhishimiwa akiwa ikulu kuongea na JK. ktk picha hiyo alikuwa kakumbatia kabrasha, nadhani alikwenda kujieleza juu ya nini atakisema atakapokutana na hawa ndugu

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2012

    By the way ni serikari au serikali naomba kueleweshwa

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 14, 2012

    Kiingereza ni muhimu shule za serikali lakini mna waalimu wa kutosha wa hicho kiingereza? Waombeni wingereza wawape waalimu wa kujitolea kama mna nia ya kweli.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 14, 2012

    Mdau wa 10:34:00 PM .. Ni Serikali

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 14, 2012

    Body language ya mzungu inasema "kamwe hunidanganyi na pye pye pye zako".

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 14, 2012

    Tofauti za kitamaduni bwana, Mzungu ana wasiwasi na hicho kidole cha Meya, anafikiri kitaingizwa kwenye tumbo lake tizama alivyosimama! LOl

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...