Habari na poleni kwa kazi kubwa mnayoifanya.
Mimi ni mtanzania naitwa ERIC naishi London kwa sasa naomba msaada mkubwa kuniwekea message ndogo tu kama wengi walivyonishauri.
Nimemtafuta rafiki yangu kwa kupitia njia zote lakini ilishindikana, naomba msaada wenu maana najua hapa ndio kituo cha mwisho.
Rafiki ninayemtafuta anaitwa KALIST MUSINDA na mara ya mwisho aliishi LEEDS UK.
Naomba anipigie simu au yeyote anayejua habari zake anitaarifu kwa simu namba +44 7405616102
Asanteni sana kwa msaada wenu.
lazima utakuwa unamdai
ReplyDeleteha ha ha wewe mdau wa mwanzo wacha kuniumiza mbavu!!!!!!
ReplyDeleteMichuzi kweli ni blog ya jamii hata masuala ya wadeni unasaidia maana jamaa kaona bpra akimbilie huku
ReplyDeletewewe bwana mzee unanitafutia kitu gani?mambo ya Leeds achana nayo mimi nipo poa sanaaa.
ReplyDeleteEric wa London,
ReplyDeleteKALIST MUSINDA alisharudi Bongo kitambo tu yupo Kaliuwa, Tabora anakata mkaa!
Huko hata simu hazipatikani hewani hakuna mawasiliano kabisa!
Ahhh
ReplyDeleteKalist Musinda alirudi TZ zamani sana tu, yupo Kwimba na Magu Shinganga nachunga ngo'mbe Kijijini kwao!
Sasa hivi anaishii manchester, una shilling ngapi nikakuonyeshe alipo?
ReplyDeleteWadau nyie vipi?kwani kama nilisharudi kijijini au bado nipo UK inawahusu nini?nyie mnadhani kukamatwa na UK Boader force ndiyo mwisho wa maisha?
ReplyDeletehahahahaha...wabongo bwana tunapenda sana matani...Safi sana
ReplyDelete