Bendi ya Muziki wa dansi "Ngoma Africa band" aka FFU yenye makao yake kule ujerumani inatoa salamu za heri "Saba Saba " kwa watanzania wote walio ndani na nje ya nchi,bendi hiyo inaipongeza uongozi wa nchi pamoja na watanzania kwa kuendeleza mila ya kuudumisha sherehe za "Saba Saba" ambazo pia zinawapa nafasi watanzania kuonyesha na kushiriki katika maonyesho ya biashara ya bidhaa zinazozalishwa viwandani, mashambani,na huduma ya jamii.
Mungu Ibariki Tanzania !
Mungu Ibariki Afrika !

 Tufurahie Saba Saba kwa 
kupata raha ya "Supu ya Mawe" na "Bongo Tambarare" kutoka kwa Kikosi kazi Ngoma Africa aka FFU Ughaibuni.
unaweza kusikiliza pia at www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2012

    FFU nyini ni bendi pekee mnayekumbuka nyumbani,kila wakati mmekua mstari wa mbele katika kuelimisha jamii kwa kupitia muziki wenu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 07, 2012

    kamanda ras makunja na kikosi chako,tupo pamoja nanyi tunawakubali nyinyi ni watoto wa kitaa,lakini wakati mwingine mnakipaka kama hamna akili nzuri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...