Mkuu wa wilaya mpya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a Rukwa akizungumza na wakazi wa kata ya Mambwenkoswe iliyopo mpakani mwa Tanzania na Zambia kuhusu katiba mpya.
Mkuu wa wilaya mpya ya Kalambo Mkoani Rukwa, Mhe. Moshi Mussa Chang'a, akiwa na katiba ya Tanzania Bara na ya Zanzibar akiwahimiza wakazi wa kata ya ya Katete kuisoma na kujua kilichomo na kujiandaa kutoa maoni. Kulia ni diwani wa kata hiyo Daudi Sichone na kushoto kwake ni Kaimu mkurugenzi wilaya ya sumbawanga |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...