Makamu wa pili wa rais wa Zanzibar(Balozi Seif Ali Iddi) akimkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa PPF(Bw. William Erio) baada ya kudhamini maonyesho ya 36 ya biashara katika viwanja vya sabasaba.Katika maonyesho hayo PPF imekuwa mshindi wa pili katika kundi la taasisi za fedha (Financial sector) 21 zilizoshindana katika kundi hilo
Home
Unlabelled
PPF YAIBUKA MSHINDI WA PILI KATIKA MAONYESHO YA 36 YA BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...