Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 18, 2012 kwa mazungumzo na baadaye kupata nae chakula cha mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo na baadaye chakula cha mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha kwa chakula cha mchana Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, na ujumbe wake wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, muda mfupi baada ya kumaliza mazungumzo yao na pia kupata chakula cha mchana pamoja Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo.PICHA NA IKULU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2012

    Aga Khan ana hela chafu sana mh kikwete omba tujengewe shule na hospital nyingine.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...