Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe. Benjamin Mkapa akihitimisha mjadala kuhusu Mpango wa Tohara ya Hiari kwa Wanaume ili kupunguza maambukizi ya UKIMWI kwenye mojawapo ya mikutano ya Kongamano la UKIMWI kwenye Ukumbi wa Mikutano wa mjini Washington D.C.
Mkutano ukiendelea.
Ma-Champion wa HIV Free-Generation Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe. Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chisano na Rais Mstaafu wa Zambia Mhe. Kenneth Kaunda pamoja na wadau wengine wakiwa kwenye Ukumbi wa Mikutano wa mjini Washington D.C kuhudhulia mikutano ya Kongamano la UKIMWI.
Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe. Benjamin Mkapa akiwa katika Mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Marekani,Mh. Mwanaid Maajar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2012

    Mkapa alikuwa rais poa sana na aliimarisha uchumi wa kibongo kiaina na thamani ya tshs ilikuwa stable sana ktk uongozi wake ingawa ana mapungufu mengi ya kutumia madaraka wakati ule wa urais kwa maandalizi ya baadaye ya kujiwekea vyeo kibao ,mara ununuzi wa songwa songwa ,vyeo kibao mkuu wa uni Dom ,mavyeo kibao mtu mmoja na mshahara wake kama raisi mstaafu ankula mpaka mwisho wa maisha yake.Je ni nini maana ya kustaafu?Huyu huyu anaiwakilisha nchi na cheo kingine tena USA.Ina maanisha hakuna mtu mwenye sifa za kufanya kazi hizi bongo?Au ameweka maslahi yake mbele kama rais wa urus Puttin ambaye amediliki kubadilisha katiba ya nchi na kugombea tena urais?Je tunaelekea wapi?Haya yote enzi za mwalimu hayakuwepo au kipindi cha Mwinyi hayakuwepo.Yetu macho ,je kikwete atakuja na staili gani baada ya kipindi chake kuisha?Ustadhi Michuzi niwekee tafadhali comment yangu hewani ,Mdau

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2012

    Wanaume wafanye tohara kujiepusha na ukimwi, na sisi wanawake tufanyeje kujiepusha na ukimwi? au sisi mmetutoa sadaka ya kuteketezwa.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 26, 2012

    Wanawake epukeni ngono zembe,mtapona. Wewe unaelalamika Ben kuiwakilisha nchi jua kwamba hajaenda kama mwakilishi wa nchi. Ben ana taasisi inayojishughulisha na UKIMWI, ndio sababu kaalikwa so be polite about it.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 26, 2012

    Mdau hapo juu ,kwa wanawake pia mna chance ya kujizuia ,ila ninasikitika sana kama wewe haujui njia ya kujizuia.Kuna condom hadi za wanawake hivyo dunia ya sasa acha kufanya ngono zembe ,hii imekaa vibaya sana.Nenda na umpendae mara kwa mara kupima.Mimi nina mke wangu lakini hatuaminiani ,ninatumia condom,kwani ukimwi haupimwi kwa macho.Mdau

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 26, 2012

    Mdau hapo juu ,kwa wanawake pia mna chance ya kujizuia ,ila ninasikitika sana kama wewe haujui njia ya kujizuia.Kuna condom hadi za wanawake hivyo dunia ya sasa acha kufanya ngono zembe ,hii imekaa vibaya sana.Nenda na umpendae mara kwa mara kupima.Mimi nina mke wangu lakini hatuaminiani ,ninatumia condom,kwani ukimwi haupimwi kwa macho.Mdau

    Thu Jul 26, 12:51:00 PM 2012

    KAAZI KWELI KWELI!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...