Siku ya Jumamosi tarehe 30.6.12 ilikuwa ni Bridal shower ya Bi harusi mtarajiwa Regina Rayah iliyofanyika mjini Reading UK katika Ukumbi wa Irish Club. Sherehe hii ilifana sana MC wa shughuli hii alikuwa Marium Nice.

Harusi itafanyika tarehe 7 July 2012 katika kanisa la St Peter's Church, anuani ni Church Road, Caversham, Reading RG4 7AD kuanzia saa kumi jioni na baada ya harusi sherehe itaanza rasmi saa kumi na mbili na nusu jioni katika Hotel ya Hilton Drake way, Reading RG2 0GQ.

Kwa maelzo zaidi wasiliana na simu 07404151936

Asanteni

Picha kutoka Urban Pulse Creative.
Watarajiwa Bwana Terry na Bi Harusi Regina. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2012

    No comments

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2012

    poa safi sana hii nakutakiyeni kila la kheri ndo mambo yanavyotakiwa haya kuoa au kuolewa na wazungu zungu zungu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2012

    makaratasi hayo inabidi muolewe hata na matahira

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 02, 2012

    hongera bi dada. Ila sijui ni macho yangu ama la, watz wanaoishi ulaya huwa nawaona wamekomaa na kukauka ukilinganisha na sisi tunaoishi bongo, sijui ni kazi nyingi ama la!! ni mtazamo wangu jamani....

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 02, 2012

    mama tafuta makaratasi mama poa sana nafurahi nikiona watu wanatafuta makaratasi kwa njia yeyote.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 02, 2012

    Watu wengine wivu badala ya kumpa hongera dada yetu mnakuwa na negative comments wivu huo. Ingekuwa Ulaya kubaya angalia kisa kilichowaua Wa-Ethiopia wiki iliyopita. Ukiwa na pesa Bongo maisha raha sana lakini 80% ya watanzania ni walala hoi na wengi chai ya asubuhi hamna labda wale kiporo cha jana.Ili kujiokoa na umaskini huu elimu ya msingi ife badala yake watu wasome mpaka secondary as a basic education for all. Itatoa ujinga na umaskini utaanza kupungua kwa sababu watu watakuwa na elimu wataweza kukopa pesa na ku-manage pesa hizo kufungua miradi kama biashara, kilimo n.k

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 02, 2012

    Dada hongera kwa kupata mabox maana hili limezidi makaratasi

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 03, 2012

    Hongereni maharusi....

    Ila mbona kama shughuli imekaa kikiwa?

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 03, 2012

    teh teh jamani tutafanyaje? tunakauka miili maana hatuna muda wa kulala ni kushinda na kukesha kazini. Makaratasi yanatufanya tujiingize katika kila liwalo ilimradi tubaki huku maana bongo nako ni tabu kweli kweli.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 03, 2012

    Jamani sidhani kama ni wivu wewe hujui yanayojiri ulaya wanachosema ni ukweli wadada wengi wanaolewa na matahira ilimradi wapate makaratasi tu mbaya zaidi ni pale anapodhani tahira/ babu atakata mapema hawafiiiii unazeeka nalo teh teh

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 09, 2012

    Kalabagaho huyu dada ana makaratasi yake na hii ni just love so pelekeni uongo wenu huko. Kazi kuongea msiyo yajua. Hongera Raya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...