Wanachama wa CCM tawi la DMV tunaungana na watanzania wenzetu popote duniani kutoa salamu  Za rambi rambi kwa Kuondokewa na  MZEE WETU MKONGWE WA CHAMA CHA MAPINDUZI, NDUGU AZZAN ALLY MANGUSHI.

Mzee wetu,  atakumbukwa kwa hoja zake za kuchangia mambo mbali mbali ndani ya chama cha mapinduzi hasa kipindi alivyoweza kushika nafasi ya mjumbe wa halmashauri kuu ya kinondoni-Dar es salaam na mambo mengi yaliyoweza kulijenga taifa la Tanzania. Wanachama wa ccm wameondokewa na kiongozi imara na shupavu katika siasa.

Sisi wananchama wa CCM tawi la Washington, DC Maryland na Virginia tunatoa salamu za rambi rambi kwa ndugu wa marehemu na wanachama wa CCM popote duniani katika kipindi hiki kigumu.
Mungu ailaze roho ya mzee wetu huyu peponi - Amin

Uongozi
Tawi la ccm-DMV
Marekani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...