Wanasheria kutoka Ofisi ya makamu wa Rais, Bw. Nehemia Mandia (kushoto) Bw. Isakwisa Lameck Mwankonda (kulia) na Afisa habari Bi Evelyn Mkokoi katika Picha ya Pamoja wakijiandaa kuingia katika Mkutano wa kanda wa SADC unaohusu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa ya Bayonuwai pamoja na Baiteknolojia jijini Johanesberg Africa ya Kusini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2012

    Kwa mwendo huu utoke serikalini unafuta nini kwingine make mshahara hata ukiwa elf 60 tu huzigusi we ni trip tu mara UK,SOUTH,KENYA NDANI YA MWAKA MNA MAGHOROFA HEKOOO SERIKALI KWA KUTUPATIA CHANCE YA KUHUDHURIA SEMINAR NCHI MBALIMBALI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...