Home
Unlabelled
viboko wa katavi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
AHSANTE KWA PICHA HII NZURI, KWA KWELI INAVUTIA PAMOJA NA KUWA SIFAHAMU HAWA WANYAMA WANA UKALI GANI KWA WANADAMU AU WANYAMA WENGINE LAKINI WANAONEKANA WAPOLE NA WANAPENDANA. WATANZANIA TUPENDE KUWATHAMINI NA KUWATUNZA. TULETEENI NA WENGINE WA SEHEMU NYINGINE, SHUKURANI NYINGI KWA ALIYEPIGA NA KUILETA KATIKA BLOG HII.
ReplyDeleteKatavi ndio Mkoa gani, upo jirani na Mkoa gani?
ReplyDeleteJamani kuna mtu mwenye RAMANI MPYA ya mikoa ya Tanzania Bara? Napenda kujua hii mikoa mipya iliyokuja kipindi cha Mkapa na Kikwete. Please help.
ReplyDeleteTujitahidi ikiwezekana hawa Viboko wafungwe 'Rimoti kontrol' kuwadhibiti na kuwanusuru na Majangili ili nao wasije wakatoweka kama Faru waliopelekea sasa tunapatiwa Msaada wa mbegu ya faru watatu (3) kutokea Uingereza!
ReplyDeleteAsante mpiga picha..picha nzuri sana.Kila nikivuta kumbukumbu ya somo la picha kidato cha pili inakataa kutoka.Hii ni ground /air Oblique photo(au siyo mzee Michuzi?)..Picha uliipataje hii mkuu?Ulikuwa juu ya mti au kwenye kichuguu?au hewani.Wakorofi sana hawa wanyama ingawa wanaonekana wapole usoni
ReplyDeleteDavid V
Rukwa imegawanywa na kupatikana mkoa mwingine wa katavi
ReplyDeleteKatavi ni mkoa mpya zamani ulikuwa ni mkoa mmoja na Rukwa, kwa sasa umepaka na mikoa ya Kigoma, Tabora, Rukwa nk.
ReplyDeleteNASIKIA NYAMA YAKE NI TAMU SANA NI KWELI JAMANI?
ReplyDeletekatavi ipo katika mkoa wa kilimanjaro wilaya ya Vunjo mashariki.
ReplyDeleteSio wakorofi hawa wanyama, lakini ukiwachokoza huwa wanakuwa wakali sana na wanaweza kudhuru watu hasa ndani ya maji.
ReplyDelete