Meneja Mahusiano ya Nje wa Vodacom Bw Salum Mwalim akiwaelezea wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kutoka kushoto Abbas Mtemvu (Temeke),David Silinde (Mbozi Magharibi) na Mussa Azan (Ilala) faida za kujiunga na huduma za mkataba za kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakifurahia huduma za Vodacom wakati kampuni hiyo ilipowahudumia wabunge katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma wiki iliyopita. Wa tatu kushoto ni Meneja Mahusiano ya Nje wa Vodacom Bw Salum Mwalim.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...