Mkuu wa huduma za Elimu Makumbusho Mwalimu Ramadhan Ali akiwanesha waandishi Ramani ya Mji wa Zanzibar ulivyokuwa kabla na kubainisha mabadiliko mbalimbali yaliotokea.
Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali walifika huko maruhubi na kupata historia ya majengo hayo ambaya yalijengwa na Mfalme Baraghash kwa ajili ya Starehe tu katika mwaka 1880 na kuharibika kwa kuungua moto mwaka 1889.
Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali walifika huko maruhubi na kupata historia ya majengo hayo ambaya yalijengwa na Mfalme Baraghash kwa ajili ya Starehe tu katika mwaka 1880 na kuharibika kwa kuungua moto mwaka 1889.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...