Mkuu wa huduma za Elimu Makumbusho Mwalimu Ramadhan Ali akiwanesha waandishi Ramani ya Mji wa Zanzibar ulivyokuwa kabla na kubainisha mabadiliko mbalimbali yaliotokea.
Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali walifika huko maruhubi na kupata historia ya majengo hayo ambaya yalijengwa na Mfalme Baraghash kwa ajili ya Starehe tu katika mwaka 1880 na kuharibika kwa kuungua moto mwaka 1889.
Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali walifika huko maruhubi na kupata historia ya majengo hayo ambaya yalijengwa na Mfalme Baraghash kwa ajili ya Starehe tu katika mwaka 1880 na kuharibika kwa kuungua moto mwaka 1889.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...