Kiongozi wa Bendi ya Mashujaa,Chalres Gabriel a.k.a Charles Baba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo asubuni wakati wa kutangaza uzinduzi wa video yao mpya inayokenda kwa jina la "Risasi Kidole".Kushoto ni Meneja wa Bendi hiyo,Martin Sospeter.
Sehemu ya video ya waimbo wao huo.
Sehemu ya video ya wimbo wao huo, wakati hapo tunaona mmetuwekea picha mnato. Kuweni makini na kazi zenu.
ReplyDelete