Msanii Amin Mwinyimkuu akiwarusha mashabiki waliofurika katika ukumbi wa Dar Live jana.
Kiongozi wa Talent Band, Hussein Jumbe akipagawisha sambamba na wanenguaji wake.
Mmoja wa wasanii wa Mshikamano Cultural Troupe, akionyesha umahiri wake kwa kupita katika 'ring'.
Kundi la Wakali Dancers likiwapa burudani mashabiki waliohudhuria.
Mwanamuziki Mkongwe, Anna Mwaole (katikati) akinengua na wacheza shoo wa Talent Band.
 
...Mwaole akiimba sambamba na Hussein Jumbe.
Dj Juice (kulia) akiwa mzigoni, pembeni ni Mc Pamela.
 
Msanii Chipukizi wa Muziki wa Kizazi Kipya, Bob Rogers akidansi na shabiki wake.

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya Amin Mwinyimkuu, kundi la Wakali Dancers, Talent Band na Mshikamano Cultural Troupe jana walifunika vilivyo katika tamasha la Idd Pili lililofanyika katika ukumbi wa kisasa wa Dar Live.
(PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hakuna mtu yeyote ambaye angekubali shutuma kama hizi hata kama zingekuwa na ukweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...