...Mwaole akiimba sambamba na Hussein Jumbe.
Msanii Chipukizi wa Muziki wa Kizazi Kipya, Bob Rogers akidansi na shabiki wake.
MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya Amin Mwinyimkuu, kundi la Wakali Dancers, Talent Band na Mshikamano Cultural Troupe jana walifunika vilivyo katika tamasha la Idd Pili lililofanyika katika ukumbi wa kisasa wa Dar Live.
MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya Amin Mwinyimkuu, kundi la Wakali Dancers, Talent Band na Mshikamano Cultural Troupe jana walifunika vilivyo katika tamasha la Idd Pili lililofanyika katika ukumbi wa kisasa wa Dar Live.
(PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL)


Hakuna mtu yeyote ambaye angekubali shutuma kama hizi hata kama zingekuwa na ukweli.
ReplyDelete