Mkuu wa Vipindi wa Clouds Fm Sebastian Maganga (wa kwanza kulia) akitoa maelekezo kwa watangazaji wa redio hiyo Lovenes Love na Adam Mchomvu wakati walikuwa wakiongea na wasikilizaji wa redio ndani ya Tanga katika amsha amsha ya Tamsaha la Fiesta 2012 linalotegemea kufanyika tarehe 26.8.2012 Uwanja wa Mkwakwani. Tamasha hilo litakalopambwa na msanii maarufu wa kimataifa kutoka nchini Kenya Prezzoo.
Home
Unlabelled
Amsha amsha ya Tamasha la Fiesta 2012 ndani ya mji wa Tanga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...