Mgombea Uenyekiti wa CCM Wilaya ya Lindi Mjini,Muhsin Rafii Ismail Akikabidhiwa fomu ya kuomba ridhaa ya Wanachama wa CCM Wilaya hiyo kumchagua kuwa Mwenyekiti 2012-2017...Anayekabidhi ni Katibu wa CCM -Lindi Mjini,Bw Mohamed Kateva Anayeshuhudia ni Katibu Msaidizi wa CCM Lindi mjini
Muhsin Rafii Ismail akifika katika Jengo la CCM Mkoa wa Lindi kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuomba Uenyekiti wa CCM wilaya ya Lindi Mjini huku wadau wakimuunga mkono

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...