ATHUMANI MBARUKU KANYAMA jr (pichani) ambaye ni mwanafunzi wa Mwaka wa 2 katika skuli ya maandalizi ya Ali Hassan Mwinyi iliyopo Mburahati Barafu Dar es Salaam ametimiza miaka 7 siku ya  tarehe 17/8/2012. 

Kwa sasa Mbaruku jr ameungana na familia yake hapa migombani Zanzibar kwa ajili ya kusheherekea Besdei yake sambamba na EID EL FITR. Ee m/mungu mpe mja wako huyu afya njema, elimu, hekma na umri mrefu uliokuwa na baraka zako inshallah.
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...