Home
Unlabelled
Hizi Pozi zingine.....!!??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Barabara nzuri kuliko nyumbani, maisha si mazuri. Hata mimi napenda kupumzika kidogo, na nikigongwa pengine ni nafuu kwangu maana nitahudumia na hivyo kuwa na uhakika wa angalau mlo mmoja kwa siku. Nikifa pia ni sawa tu kwa kweli.
ReplyDeleteHawa jamaa inaelekea wanasubiri usafiri na kwa bahati mbaya sehemu kubwa ya nchi yetu hamna vituo vyenye kumuwezesha abiria kuketi na kusubiri usafiri. Inaelekea alisimama kwa muda mrefu na akajionea bora aketi hapo ili basi lisimpite. Ni hatari lakini hamna jinsi.
ReplyDeleteushamba tu huo unawasumbua.
ReplyDeleteSio.... pozi zingine, kiswahili gani hicho. ungeandika... pozi nyingine...!?
ReplyDeleteLakini kwa kuziangalia vizuri na kwa makini, sio kama hao vijana wamekaa hapo na kutuonyesha hayo mapozi yao, la khasaha! Hapo inaonyesha wanasubiri chombo chochote cha usafiri, almuradi waweze kuondoka pahali hapo. Ukiangalia hiyo gari ndogo picha ya mwanzo, imewapita au pengine dereva hakutaka kusimama au kakataa kuwapakia. Tukiangalia hiyo picha ya pili, kijana anaonekana kama anajaribu kukisimamisha chombo kingine cha usafiri ambacho kinakuja mbele yake (hakikuonyweshwa hapo kwenye picha). Hivyo kichwa cha habari hakiendani kabisa na picha halisi zinavyojieleza hapo, vinginevyo tutaanza kutowa 'comments' za kuwananga hawa vijana pasina sababu yeyote ya msingi. Nadhani ni utofauti tu wa mazingira, sio kila sehemu kuna 'bus stop' maeneo mengine watu wanasubiri usafiri au kusimamisha magari kwa mtindo huo, hakuna geni hapo.
Vibaka hao shauri yako wewe jifanye kusimama au punguza mwendo uone.
ReplyDeleteJamaa anaombea agongwe ili ndugu zake walale barabarani kudai matuta, alafu magari yatembee polepole wauze nyanya zao. Akili kwa kichwa bwana!
ReplyDeleteBange hizo na sio bure
ReplyDelete