Kamanda wa Polisi mkoa wa (ACP), Liberatus Sabas akiwaonyesha waandishi wa habari silaha aina ya Rifle 458 iliyokuwa inatumiwa na jambazi ambaye alifariki dunia baada ya kupigwa risasi na askari wa Polisi walipokuwa wanarushiana risasi katika eneo la Ngaramtoni wilayani Arumeru tarehe 13/08/2012 (Picha na Rashid nchimbi wa Polisi Arusha)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. I am not an expert on firearms, but this looks like a sawn-off Greener.

    ReplyDelete
  2. Mwongo kamanda! yuko wapi mwisi menyewe?

    ReplyDelete
  3. Wanapata wapi risasi?

    ReplyDelete
  4. mwisi menyewe nakufa aisee..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...