Waumini wakiwa katika futari iliyoandaliwa na jumuia ya Kiislamu Tanzanian Muslim Community, katika ukumbi wa Hillandale Local Park, New Hampshire Avenue, Silver Spring Maryland. Nchini Marekani.

Tanzanian Muslim Community Washington Metropolitan (TAMCO) jana Jumapili katika Mwenzi mtukufu wa Ramadhani wafutarisha pamoja na kuwaombea Dua Jamaa wote waliotangulia mbele ya haki.

Waumuni wakiwa kwenye kisoma pamoja na futari hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Hillandale Local Park New Hampshire Avenue, Silver Spring Maryland. Siku ya Jumapili  Aug 5, 2012

 Bwana Omar kutoka State ya Philadelphia alimazia kwa kuwakumbusha waumini wa jumaia, umuhimu wa Dini ya Kiislam katika Mwenzi huu Mtukufu wa Ramadhani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...