KUNA KIJANA WA KISOMALI ANAUTAFUTA UKOO WAKE NIKIMAANISHA NDUGU ZAKE POPOTE PALE WALIPO
KIJANA HUYO ANA UMRI WA MIAKA KATI YA 27 AU 28 NA BABU YAKE ANAITWA ABDILLAH ALLY ALIKUWA ANAMILIKI HOTEL YA MBARAKA HOTEL HUKO MOMBO NCHINI TANZANIA MIAKA YA NYUMA (MWAKA 1984) NA BABA YAKE MZAZI ANAITWA HUSSENI ALLY AMBAYE NI MTOTO WA MMILIKI WA HIYO HOTEL (MZEE ABDILLAH ALLY).KWA YOYOTE ANAEUFAHAMU UKOO WA MZEE ABDILLAH ALLY ANAOMBWA KUMSAIDIA KIJANA HUYU AWEZE KUWAPATA NDUGU ZAKE.KWA MAWASILIANO .
EMAIL:- erasto_richard@yahoo.com
Mobilenumber
Ahh hili tangazo lilipendeza sana lingetoka mapema maana jana kulikuwa na mkutano wa siasa pale kulikuwa na wasomali kibao. Ilifaa baada ya kutoa kadi wanatangaza na ndugu anayetafuta ukoo wake siajabu walikuwepo mle nduguze. Anyway watapita tu hapa kusoma
ReplyDeleteHuyu nae, mbona kajificha ficha chini ya mti badala ya kuleta picha kama ya passport?
ReplyDeleteKwani yukwapi huyo ndugu, ni rahisi kama yuko mkoa wowote na anajua kiswahili aende hoteli yoyote ya wasomali akiuliza na kuacha namba yake atapata ndugu zake. Natumaini utapata ndugu zako. Shukran ndugu yangu,
ReplyDeleteSasa kama unajua ana Hotel Mombo kwanini usiende huko? Itakuwa bado wapo hapo hapo au watu wanawajua.
ReplyDeleteUBALOZI WA MUDA WA NDUGU WASOMALI:
ReplyDeleteKama wewe ni Mtanzania na mwenye asili ya Kisomali cha kufanya ni kupeleka taarifa hizi maeneo haya ambayo yanakuwa kama Ubalozi wa muda wa Wasomali:
Eneo la Kariakoo Dar Es Salaam,
(1.)AL-URUBA HOTEL, DAR ES SALAAM
(2.)MASJID QIBLATAIN,DAR ES SALAAM
(3.)MTAA WA LIVINGSTONE,DAR ES SALAAM
Hofu yangu isije kuwa amejiunga na Al-Shabaab
ReplyDelete