Wake wa Marais wa Wakuu wa Nchi za kusini mwa Africa (SDC)  Katikati ni  Mke wa Rais wa Tanzania Mama Salma Kikwete  na wa kwanza kulia  ni mke wa Rais wa Zambia Dr. Christine Kaseba –Sata  wakifuatilia majadiliano ya Mkutano huo mjini Maputo
 Wakati wa nyimbo za Taifa

Mama Salma Kikwete akitoka nje ya Ukumbi baada ya mapumziko ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi Kusini mwa Afrika (SADC) mjini Maputo –Msumbiji. Picha na Anna Itenda - Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...