Bw. Godson Luya, mkazi wa kata ya Terati wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano ulioitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika kata hiyo hivi karibuni. 
Wakazi Laiboret - Wakazi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wakifuatilia mkutano wa kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya ulioitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba wilayani hapo hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Motoka Ole ndachoAugust 02, 2012

    1.Katiba isuhusu sisi kukeketa
    2.Kloriti na ugoro iuswe supamaket
    3.Marufuku mmasai kula singisi
    4.Hapana funga sisi hata kama na kosea.

    Nasikia hiyo maneno yero?

    ReplyDelete
  2. Angalieni vizuri picha ya chini,kuna khanga, jeans,magauni na t shirt. Utamaduni wa Kimasai unatokomea taratibu, wenye kutunza kumbukumbu jamani wahi wahi, ili tujuwe tulikotoka na tulipofikia na tunakokwenda. Zebedayo msema kweli

    ReplyDelete
  3. Katika Katiba Mupya tafasali letea sisi Maasai:

    Ni waso msuri ile CRDB Bank naleta baada ya kuboesa bili ya umeme inalipa, baada ya kuhamsha mbesa kwa mama yeyoo inalipa, na ile kuhamisha mbesa kwa Msee Laisa Longido, sasa iwese kuleta mvua kwa Boma setu ng'ombe kupata maji !!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...