Kwa niaba ya wana-Diaspora wote wanaoishi nchini Canada, Kamati Tendaji ya Zanzibar – Canadian Diaspora Association (ZACADIA) inachukuwa fursa hii kutoa mkono wa Eid El-Fitr kwa Waislamu wote duniani.
Mola atujaalie swaumu zetu na dua zetu tulizokuwa tukizisoma katika mwezi mtukufu wa Ramadhani zikubaliwe. Pia, tunaomba Mola atufungulie milango ya kheri na atupe mioyo ya kuendeleza kufanya mema kila siku.
ZACADIA inakutakieni Waislamu nyote kila la kheri katika hii Eid!
Katibu
ZACADIA 
Toronto, Canada.
Source: zanzibarnikwetu.blogspot.co.uk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. ZACADIA NDIO WALE UAMSHO? SISI TUNAJUA HIYO BENDERA YA TANZANIA NANYINYI NI WATANZANIA HIYO SASA NI IPI?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...