Ofisa Mwandamizi  wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Alfred Mbogora (pichani), amefariki mapema tarehe 18/8/2012 katika hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua ghafla.


 Taarifa zinasema siku ya jumatano aliuguwa ghafla akiwa safarini kuelekea Bagamoyo kikazi.Ambapo njiani alisema hajisikii vizuri na kupoteza nguvu.
Marehemu Alfred Mbogora aliwahi pia kufanya kazi katika taasisi ya Utafiti na Demokrasia(REDET).

Amewahi pia kuwa mwandishi wa habari wa SHIHATA,The Guardian  na  The African.
Mipango ya mazishi inafanyika na tutawaletea habari zaidi kadri zitavyopatikana

MUNGU AILAZE  ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI
-AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Rest In Peace Brother Alfred.

    ReplyDelete
  2. Oh jamani. Upumzike kwa amani. We will miss u sana. Dah....siamini!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...