Mwenyekiti wa Sekta Binafsi ya Ulinzi hapa Nchini,Almas Maige (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam leo wakati akitoa taarifa ya kulitaka Shirika la Viwango nchini (TBS) kuacha kuiingilia Sekta hiyo katika maswala yake ya kiutendaji,kwani halina sifa waha utaalamu wakusimamia maswala ya ulinzi.Kulia ni Katibu Mkuu wa Sekta Binafsi ya Ulinzi hapa Nchini,Isaya Maiseli.
Katibu Mkuu wa Sekta Binafsi ya Ulinzi hapa Nchini,Isaya Maiseli akisoma taarifa yao yenye taratibu mbali mbali za maswala ya Ulinzi hapa nchini mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...