Mwenyekiti wa Sekta Binafsi ya Ulinzi hapa Nchini,Almas Maige (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam leo wakati akitoa taarifa ya kulitaka Shirika la Viwango nchini (TBS) kuacha kuiingilia Sekta hiyo katika maswala yake ya kiutendaji,kwani halina sifa waha utaalamu wakusimamia maswala ya ulinzi.Kulia ni Katibu Mkuu wa Sekta Binafsi ya Ulinzi hapa Nchini,Isaya Maiseli.
Katibu Mkuu wa Sekta Binafsi ya Ulinzi hapa Nchini,Isaya Maiseli akisoma taarifa yao yenye taratibu mbali mbali za maswala ya Ulinzi hapa nchini mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...