Mhariri wa BBC Idhaa ya Kiswahili,Ali Saleh (pili kulia) akizungumza wadau mbalimbali walioweza kufika kwenye hafla fupi ya Uzinduzi kipindi cha Dira ya Dunia kupitia Televishioni ya Star TV hapa nchini,ikiwa ni muendelezo wa kutanua wigo wao kwa wasikilizaji.hafla hii inafanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Harbour View,jijini Dar es Salaam.wengine pichani kutoka Kulia ni Mtangazaji Mahiri wa Dira ya Dunia,Salim Kikeke,Hassan Mhelela na Meneja Mipango na Utafiti wa Sahara Media Group,Nathan Rwehabura.
Meneja Mipango na Utafiti wa Sahara Media Group,Nathan Rwehabura akizungumzia ushirikiano wa Kampini yake na BBC Idhaa ya Kiswahili.
Mtangazaji wa BBC Idhaa ya Kiswahili hapa nchini,Hassan Mhelela akizungumza machache wakati wa Uzinduzi huo.Kulia ni Mhariri wa BBC Idhaa ya Kiswahili,Ali Saleh.
Mtangazaji Mahiri wa Dira ya Dunia ya BBC,Salim Kikeke akizungumza jambo kwa msisitizo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Kipindi cha Dira ya Dunia kupitia televisheni ya Star TV hapa nchini.kipindi kitakachokuwa kikiruka kuanzia siku ya jumatatu mpaka ijumaa,kuanzia saa 3 usiku.
Mtangazaji Mahiri wa Dira ya Dunia ya BBC,Salim Kikeke akizungumza jambo kwa msisitizo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Kipindi cha Dira ya Dunia kupitia televisheni ya Star TV hapa nchini.kipindi kitakachokuwa kikiruka kuanzia siku ya jumatatu mpaka ijumaa,kuanzia saa 3 usiku.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...