Madrassatul Noor Leicester na An Noor Community Leicester kwa pamoja wanapenda kuwaalika Waislamu Wote pamoja na Wapenzi na marafiki zetu kutoka Leicester na miji ya karibu na mbali katika Mhadhara mkubwa wa kuutukuza Mwezi wa Ramadhan utakaofanyika Jumamosi 4 Agosti 2012 kwa utaratibu ufuatao:
MUDA:Kuanza Saa Kumi na Mbili Jioni mpaka Sala ya magharibi
PAHALA: Hashi Centre, Nedham Street, Leicester, LE2 0HA
WAHADHIRI:Sheikh Nassor Haroub kutoka East London
Ustadh Omar Mrisho kutoka Slough
Brother Kamil kutoka De Montfort University
Baada ya Mhadhara itafuatia Futari ya pamoja
Tafadhali tusikose kuhudhuria kwa Wakati ili kuuenzi mwezi Mtukufu wa Ramadhan
Kwa maelezo tafadhali wasiliana nasi:
Simu: 07982124581 / 07792174408
Jambo jema na kubwa hili. Mungu awawezeshe inshallah.Taqbriii...Allahu Akbar
ReplyDeleteSASA UNASEMA TAKBIIR HALAFU UNAITIKIA MWENYEWE. NI SAWA NA KUSEMA: HUJAMBO WEWE, HALAFU UNAMALIZIA MWENYEWE: AH SIJAMBO TU BWANA.
ReplyDelete