Mojawapo ya mabango mengi katika jiji la Kampala, Uganda, yanayokumbusha wananchi kuhusu mpango wa kuhamishia masafa ya utangazaji wa redio na televisheni kutoka mfumo wa analogi kuelekea digitali ifikapo December 31, mwaka huu. Wahusika hapa Tanzania, ambayo nayo itafanya hivyo muda huo ukifika, pia inafanya  juhudi za kuelimisha umma kupitia redio na TV. Ila si vibaya kuiga jirani zetu hawa...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Michu ,vipi huko Kampala maflyover wanayongangania watu wa UK? au huko nako hakuna ?? naona umetuwekea picha ya njaa kali ,yaani afadhali ya Vingunguti. Zamani tulikuwa tunaponda Manzese,leo Manzese ni sawa na London, ukitaka kumvua mtu nyumba yake ,basi andaa million 600 kabisa tena cash siyo Visa au master card. Zebedayo msema kweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...