Mkuu wa Itifaki wa Miss Tanzania Albert Makoye akizindua kambi ya Redd's Miss Kinondoni 2012 katika hoteli ya JB Belmont jijini Dar. Pembeni yake ni Mratibu wa Redd's Miss Kinondoni 2012, Vivien Sirikwa na nyuma ni warembo walio katika kinyang'anyiro cha Redd's Miss Kinondoni 2012.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Mmiliki wa hoteli ya JB Belmounte ambao ni wadhamini wa Redd's Miss Kinondoni 2012, Bw. JB akiongea katika uzinduzi wa kambi iliyopo katika hoteli hiyo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
HUYO DADA WA KWANZA AKISINDWA NITAKUNYWA SUMU. KUTAKUWA HAMNA MAANA TENA YA U MISS MISS. AKISHINDWA TU JK NAOMBA ONDOA MOJA KWENYE HESABU ZENU ZA SENSA.
ReplyDeleteana nini cha ajabu?kumbuka ktk huo udhalilishaji wa hao kinadada moja ya vigezo ni kujibu maswali kwa ufasaha
ReplyDeleteLONG NICE LEGS! nilidhani walishamalizaga haya na miss TZ akapatikana? Lisa Jensen? au ndio watu wamejipatia biashara sasa mashindano yasioisha? IT IS TRUE THOUGH THE GIRL IN BLACK IS CUTE.
ReplyDelete