Rais wa Kenya Mwai Kibaki katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Margaret Zziwa (wa pili kushoto) na Wabunge wa Afrika Mashariki mara baada ya kufungua na kuhutubia Bunge hilo lililoanza wiki iliyopita jijini Nairobi, Kenya.
Rais Mwaki Kibaki akisalimiana na Mbunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania Shy-Rose Bhanji.
 Wabunge wengine akiwemo Abdullah Mwinyi naye akisalimiana na Rais Mwai Kibaki.
  Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki.
 Sehemu ya wabunge wakimsikiliza Rais Kibaki
    Maafisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano katika picha ya pamoja na Mbunge Shy-Rose Bhanji mara baada ya ufunguzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. nafasi hizo kazipigania kwa muda mrefu huyo dada shy rose bhanji naona dream yake imekamilika kuwa mbunge.

    ReplyDelete
  2. Thanks to Mzee Kibaki...the think tank ya Republic of Kenya. Twaona maendeleo baba

    ReplyDelete
  3. Mjengoni Bunge la Kenya:

    Enheee huko ndio kubana matumizi kwa muonekano wa ndani kuanzia viti huwezi amini kuwa ni mjengoni Bungeni unaweza fikiri ni ndani ya Mahakama ya Mwanzo!

    Jamaa mabahili sana ndio maana wana maendeleo, inaonyesha hata A/C viyoyozi hakuna!,,,ni kavu kavu mafeni tu!

    Je, kwa Bunge la Kenya na aina yao ya viti utaweza kukuta Mbunge ameuchapa usingizi?

    Je Bunge letu ndani mjengoni si kama Paradiso?

    ReplyDelete
  4. Hapa ni ndani ya Bunge la Kenya Mjini Nairobi ama ni Ukumbi wa Manispaa Wilaya huko Machakos?

    Inaonyesha haya viyoyozi hakuna tofauti na ile PARADISO yetu kule Dodoma!

    Hivi kwa makochi hayo ya mjengoni kwa watani wetu wa jadi kuna Mheshimiwa aneyeuchapa usingizi?

    ReplyDelete
  5. Ama kweli Bongo Tambarale, Bongo peponi!

    Ndio maana Wakongo, Wahindi na Wachina Bongo kwao ni kama Majuu ati!

    Hivi ndio ndani mjengoni Kenya kweli?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...