Akimtunkia tuzo hiyo Naibu Mkuu wa USAID anaeshughulikia Afya Dr Areil Pabloz-Mendez alisifia mchango mkubwa wa Dr Malecela kitaifa na kimataifa katika kupambana na magonjwa hayo. Wengine waliopewa tuzo ni Prof Ade Lucas wa Nigeria, Dr Amazigo wa Nigeria an Dr Birtwum wa Ghana.
Akimtunkia tuzo hiyo Naibu Mkuu wa USAID anaeshughulikia Afya Dr Areil Pabloz-Mendez alisifia mchango mkubwa wa Dr Malecela kitaifa na kimataifa katika kupambana na magonjwa hayo. Wengine waliopewa tuzo ni Prof Ade Lucas wa Nigeria, Dr Amazigo wa Nigeria an Dr Birtwum wa Ghana.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...