Mmoja wa wapiga picha hodari wa jijini Mbeya (jina lake hakulipata kwa haraka) akiwajibika jioni ya leo kwenye uwanja wa Sokoine jijini humo wakati wa Mechi ya ufunguzi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara,kati ya timu ya Tanga na Tanzania Prisons ya jijini humo.
 Wazee wa kazi wakiendeleza libeneke.
Sasa ni zamu ya wale wapiga picha ambao ni maprofeshno kwa kutumia vilonga longa,hapo hata wapiga picha wa za televisheni walishindwa kufanya intavyuu na Kocha wa Yanga kwa sababu ya hawa jamaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...