Mpambano kati ya kampuni ya ujenzi ya Group Six International na Advent Construction company lilifanyika  hivi karibuni mjini Moshi uwanja wa Muungano na Group Six kuibuka kidede baada ya kuichapa Advent goli 2-0. Kampuni zote mbili zinashirikiana kwa pamoja kujenga kiota kipya cha NSSF kitakachoitwa Kilimanjaro Comercial complex(KCC) mjini Moshi
 Advent construction Ltd footbal team
 Group six International footbal team
 GSI wakishangilia goli la kwanza
 Mashabiki wa  GSI wakishangia baada ya timu yao kutoka kidedea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...