Natumaini upo vizuri pamoja na Familia yako! mimi ni mdau mkubwa wa Blog yako, kuna kifaa ninataka kununua Amazon.com, ila sijui jinsi ya kukifikisha Arusha Tanzania. ni kifaa cha Muziki Powered Mixer yenye ukubwa wa  14 x 13 x 7 Inches ina uzito wa 17 Paunds naomba kama unafahamu gharaMa za kukisafirisha au uniwekee kwe blog yako wadau wanisaidie

Asante

Mdau Majuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Anwani ya posta inatosha, nimeshawahi kununua kitabu amazon na wakanifikishia anwani yangu ya posta, nikaenda kuchukua bila ya tatizo.

    ReplyDelete
  2. Asante Mkuu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...