Kwenye http://sevennaturalwonders. org/category/africa/ Mlima Kilimanjaro ni wa pili na Animal Migration inashika nafasi ya nne kwa maajabu Afrika, Watanzania tuendelee na tuendelee kuvipigia kura vivutio vyetu. Mie sioni mantiki kabisa ya Red Sea Reef kuongoza hadi sasa. Shime wadau!
Msimamo ni kama ifuatavyo:
1:Red Sea Reef
2:Mount Kilimanjaro
3:Sahara Desert
4:Serengeti Migration
5:Tsingy de Bemaraha
6:Avenue of the Baobabs
7:Ngorongoro Crater
Mdau David V
Mbona shida sana ku-log in?
ReplyDeleteKura mnataka halafu mnaweka process ndefu ya kupiga kura! Mi nimeshindwa kuvote nisaidieni mnaojua nifuate taratibu zipi?
Mdau David V.
ReplyDeleteAhsante sana mwanandugu kwa ufunguo huo uliotupatia!
Isipokuwa palihitajika maajabu haya yawe 9 na sio saba tu!
Mawili makubwa yapo Tanznaia:
(8)Kikombe cha Babu Loliondo.
(9)Profesa wa Mtaala wa Biashara hata kama ni wa ngazi ya Chuo Kikuu ktk Tanzania kushindwa hata kumudu kuendesha bishara ya genge au Kiosk cha soda!.